Showing posts with label michezo. Show all posts
Showing posts with label michezo. Show all posts

Tuesday, May 9, 2017

SIMBA

Banda na Mzamiru wawashukuru mashabiki kwa kuwachagua wachezaji bora wa mwezi.
Habari Kamili click link kwenye Bio

Sunday, May 7, 2017

SIMBA

Timu ya soka ya Simba imerejea kileleni mwa ligi baada ya kuisambaratisha African Lyon kwa bao mbili kwa moja.

BARANI URAYA

EPL: Klabu ya Arsenal imeinyuka magoli 2-0 Manchester United hii leo.
.
Magoli hayo yamefungwa na Xhaka(Dakika 54) na Welbeck(Dakika 57).