Showing posts with label MZIKI. Show all posts
Showing posts with label MZIKI. Show all posts

Saturday, July 29, 2017

NEW VIDEO HARMONIZE SUNA

117K views 6 Hours Ago
#SINA WIMBO  MPYA KUTOKA KWA KIJANA WAKO @HARMONIZE_TZ FUATA LINK HII KWENYE BIO YA @harmonize_tz 👉https://youtu.be/nuLx7gXkt6s KUITAZAMA 🙏

Saturday, May 13, 2017

DAVIDO

R.kell afanya rimx nyimbo ya  davido

Saturday, May 6, 2017

ALICHO SEMA BARAKA LEO KWENYE PAGE YAKE YA INSTAGRAM

Tangu nazaliwa sijapata kuona Nchi yenye wajuaji wengi kama #TANZANIA..tangu nazaliwa sijawai kupata kuona Nchi yenye binadamu wenye chuki baada kuona mtu kafanikiwa kama #TANZANIA siku hizi mashabiki wamekuwa walimu wa mashahiri na wamekuwa wajuaji kuliko hata sisi tunaoimba mziki...@Darassacmg katoa wimbo wake mpya... ni wimbo mkali sana sio audio tu..adi video @hanscana_ umeuwa lakini kuna izi page zinazojihita page za udaku siku hizi...zinaboa sana naona kuna kitu wanapost sijui waga wanatumiana hili kurudisha mafanikio ya watu nyuma...Ujue mziki sio kitu ki lahisi kama watu wengi humu ndani  mnavyodhania na sio lazima kila kitu kiwe sawa au mapokezi kufanana na kilichopita nyuma...Hakuna kitu kinaboa Duniani kama mtu unapoteza muda wako na nguvu nyingi kuwekeza katika kazi yako au kupigania mafanikio yako,alafu kinakuja kijimtu sijui hata kimetoka wapi kinaanza kuponda kile kitu ulichopoteza muda na nguvu nyingi na pesa pia Nyie watu wajuaji mnaboa kinoma...Tungeni zenu Nzuri na video zenu Nzuri tuzione,Hao Hao kesho ndio utawasikia wakiimba kama wimbo wa taifa.... Oy mwanangu @Darassacmg congratulation my brother ngoma kali kinoma tena video ndio umeuwa kabsaaaaaaaaaaaaaaaaaaa #HASARAROHO link kwa bio ya @Darassacmg

NAY WA MITEGO ATAFANYA SHOW KUBWA DAR LIVE

#WapoTour nizamu ya #DarLive  Njoo wewe na yule Njooni Tuvunje Kibubu na Mrlover @naytrueboy #babayaga Shika iyo Th. 2o/05/2017 #Wapooooooo

Wimbo mpya Wa darasa umedhihirisha kuwa ile ngoma ya Muziki alibahatisha

Darasa ametoa ngoma mpya ambayo kwa kweli imedhihirisha kuwa msanii huyu hana kipaji cha kutunga mashairi mazuri. Si hivyo tu ngoma hii imetoa picha kuwa msanii huyu siyo mbunifu kwani ngoma hiyo inaelekea kufanana na ngoma ya muziki

Video kali sana ila audio kuna muda nahisi nasikiliza Muziki....