Saturday, May 6, 2017

WANANCHI WAKIWA WAKIWA ENEO LA SHULE


Sehemu ya wananchi wakiwa katika eneo la Shule ya Lucky Vincent iliyopo mkoani Arusha kwa ajili ya kufuatilia taarifa zaidi juu ya ajali iliyohusisha gari aina ya Coaster iliyokuwa imebeba wanafunzi wa shule hiyo.

Endelea kufuatilia page zetu  kutazama @salimbizz  kwa taarifa zaidi.

#CMG inatoa pole kwa msiba huu mzito.

    Choose :
  • OR
  • To comment
No comments:
Write comments