Sunday, May 7, 2017

ARUSHA

ARUSHA: TANESCO imekata umeme kwa Majeshi ya Ulinzi na Usalama pamoja na Hospitali za Serikali kutokana na malimbikizo ya madeni.
.
Taasisi zilizokatiwa umeme na kiasi wanachodaiwa ni pamoja na Jeshi la Wananchi 'TPDF' (Sh Milioni 538), Makao Makuu ya Polisi Mkoa na vituo vyao (Sh. Milioni 271), Jeshi la Kujenga Taifa JKT-Oljoro(Sh Milioni 57) na Hospitali zote za Serikali (Sh. Milioni 58). .

Kwa mujibu wa Ofisa Uhusiano wa TANESCO wa Mkoa huo amesema kuwa huo ni uetekelezaji wa agizo la Rais Magufuli kuwakatia umeme wadaiwa sugu.

    Choose :
  • OR
  • To comment
No comments:
Write comments