Saturday, May 6, 2017

MVUA KUBWA YANYESHA TANGA

KOROGWE, TANGA: Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha wilayani hapo zimesababisha kifo cha Mama na Mtoto wake. Wengine 8 wajeruhiwa.

Kati ya majeruhi hao mmoja mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja.

No comments:

Post a Comment